WAZIRI MASAUNI AONGOZA MAADHIMISHO YA 92 YA SIKU YA TAIFA LA SAUDI ARABIA JIJINI DAR ES SALAAM

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni akizungumza kwa niaba ya Serikali ya Tanzania wakati wa maadhimisho ya siku ya 92 ya Taifa la Kifalme la Saudi Arabia yaliyofanyika Hoteli ya Johari Rotana Jijini Dar es Salaam, jana Septemba 22, 2022. Mhandisi Masauni alikuwa mgeni rasmi kwenye maadhimisho hayo. Kushoto ni Balozi